sw.news

Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"

Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo].
Aliyempa Pentin habari hizo aliongeza kuhusu suala hili, hakuna "tofauti" kati ya Askofu Mkuu Ladaria na mtangulizi wake Kadinali Gerhard Müller.
Pentin amegubdua kwamba "Papa anaitaka barua [inayopiga marufuku pendekezo hilo] ibaki kuwa siri kwa sababu zisizojulikana".
Picha: © European Parliament, CC BY-NC-ND, #newsNmaxqrapam

206
sw.cartoon

Sinodi La Amazon: Bikra Maria Alimwambia Mtakatifu Bridget Kwamba Papa Atakayetupilia Mbali useja, Ataenda Jahanamu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDgykwtpshg

118
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 2
Familia Ingalls - Temporada 1 - Episodio Piloto Parte 2

49:53
elfu 47
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

+54 2344476927 ameshirikisha hii

Me Encanta este capítulo.

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi

31
HP Y GC

Chapelet au Karmel

25:51
21
sw.news

Mtaalam: Kanisa Katoliki Limegawanyika Katika Vikundi Viwili

"Ni wazi kuwa Ukatoliki wa Roma umegawanyika katika kikundi cha Papa Francis na kikundi cha Benedict", Mark Silk ameandika kwenye mtandao wa religionnews.com. Silk ni profesa wa dini katika maisha ya umma katika Chuo cha Trinity College mjini Hartford, Connecticut. Kulingana naye "sio tangu enzi za Wayesu na Wajensisiti Wasomi wa Kikatoliki - wachungaji na wataalam walei - wakawa katika hali ya kugombana kama ilivyo sasa."
Silk aliona Francis kumfanya Joseph Tobin wa Newark, mmoja wa maaskofu watetezi ushoga wa Marekani, kuwa Kadinali kama pigo kuu kwa "uhufidhina" wa Benedict XVI.
Picha: Mark Silk, trincoll.edu, #newsGtdmrsfdml

78
sw.cartoon

Francis Alisema Mnamo Mwaka Wa 2016: Kuna "Uaminifu" Katika Wenzi Wanaoishi Pamoja Na Wamo Katika "Ndoa Halisi"
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsPanpsvcqez

115
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 1
Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 1

47:16
elfu 14
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DW5AYUrjByE/
David Icke

05:02
8
RAFAEL MEDINA MEDINA

Muujiza wa Ekaristi uliotokea wakati wa Misa iliyoadhimishwa na Askofu Claudio Gatti, huko Roma, Italia

Kurasa 6
95
sw.news

Msomi Wa Columbia Amwita Papa Francis "Nabii Bandia"

Msomi wa Columbia José Galat Noumer, 88, aliyekuwa rais wa Chuo Kikuu cha La Gran Colombia lililo mjini Bogata, na ambaye pia anakimiliki kituo cha televisheni cha kifamilia na masuala ya Kanisa Teleamiga, alisema kuwa papa Francis ni "nabii bandia ambaye Biblia humzungumzia" ambaye "hufunza imani isiyo ya Kikristo" ambayo huwa dhidi ya neno la Mungu na "kuwatengenezea njia wapinzani wa Kristo."
Akizungumza na kituo cha redio cha Blu Radio, Galat alitoa hakikisho kuwa Benedict wa Kumi na Sita ndiye Papa halisi, wala sio Francis, ambaye "alichaguliwa na Makadinali mafia ambao baadaye walikiri bila wasiwasi". Aliongeza kuwa Francis ni "bandia na hatari."
Galat alibainisha kuwa kuna "kudharau kwingi" kwa upande wa Wakatoliki na Kanisa pia, ambalo huunga mkono "ujinga" wa Francis.
Baraza la Maaskofu wa Columbia lilitoa kauli likiwaomba mapadre kuuondoa msaada wao kwa Teleamiga kwa sababu ya Galat Kumkosoa Francis. Galat aliviandika vitabu 22 na ni mwanaharakati mashuhuri wa Kikatoliki.
Zaidi

97
sw.cartoon

Kadinali Marx Alitoa Dokezo la Kubariki Ndoa Bandia za Mashoga "Hatua kwa Hatua"
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsVrtmkgfnbg

74
carlos padila

NUEVA MISA CVII - MALACHI

146
Denis Efimov

Así es.

Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DWvm20SDMsR/
David Icke

02:35
12
sw.news

Mlo Mkombozi Wa Bologna Na Papa Francis :-)

Wafungwa wawili Wataliano ambao walihudhuria chakula cha mchana kilichokuwa kimeandaliwa na Papa Francis kwa lengo la kuwasaidia maskini katika Basilika moja mjini Bologna, nchini Italia, walitumia fursa hiyo kutoweka kulingana na taarifa za vyombo vya habari nchini Italia. Wawili hao walikuwa miongoni mwa kikundi cha wafungwa ishirini kutoka jela lililo karibu na Modena na walikuwa wa kitengo cha wafungwa katika gereza hilo walioorodheshwa kuwa hatari kwa usalama wa umma.
#newsNvtrcsgjmv

138
sw.cartoon

Nani Ataniokoa Kutokana Na Mzigo Wa Maisha Yangu Ya Awali.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDoydmathrv

116
Guntherus de Thuringia

Qu.

05:26
22